- info@sagcot.co.tz
- +255(0) 22 260 1024
SAGCOT Kwa Idadi
Taasisi ya SAGCOT kinapata fedha kutoka Serikali ya Tanzania, Mashirika ya Misaada kutoka Mataifa mbalimbali hususan Serikali ya Uingereza; (FCDO au UK Aid), Serikali ya Marekani (USAID), AGRA na ofisi ya Ubalozi wa Ufalme wa Norway. Mshirika mengine ambayo yamewahi kutoa fedha ni pamoja na UNDP na Benki ya Dunia.
Tunafanya nini?
Dhamira
Kuchochea uwekezaji wenye kuwajibika na jumuishi kwenye sekta Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndani ya Ukanda wa Kusini mwa Tanzania.
Dhamira
Kuchochea uwekezaji wenye kuwajibika na jumuishi kwenye sekta Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndani ya Ukanda wa Kusini mwa Tanzania.
Dira
Uwepo wa sekta ya kilimo iliyoboreshwa na kuleta faida kibiashara nchini Tanzania na inayoimarisha usalama wa chakula, kuboresha hali ya kipato katika kaya na kuhakikisha uhifadhi endelevu wa mazingira.
Dira
Uwepo wa sekta ya kilimo iliyoboreshwa na kuleta faida kibiashara nchini Tanzania na inayoimarisha usalama wa chakula, kuboresha hali ya kipato katika kaya na kuhakikisha uhifadhi endelevu wa mazingira.